amedhihirisha kuwa anapenda sana kusikiliza muziki wa Hip Hop kuliko muziki mwingine.
Hivi karibuni, baada ya Ray kukiri kuwa anaupenda muziki huo, paparazi wetu alikaa naye kwa zaidi ya saa tano ambapo muda wote alisikiliza muziki huo hususan wimbo wa Gere wa Kundi la Weusi.
No comments:
Post a Comment