Saturday, March 8, 2014

YULE JAMAA KUTOKA SOMALIA ALIYEIMBA WIMBO WA KOMBE LA DUNIA, AMUOPOA LUPITA NYONG'O. CHEKI PICHA ZAO HAPA

Zile speculation kuwa huenda star mpya wa Hollywood Lupita Nyong’o ana uhusiano wa siri na mwigizaji mwenzake Jared Leto zimezikwa na speculation mpya kuwa huenda rapper na mwimbaji wa Somalia aitwaye K’naan ndiye mpenzi wa Lupita.
lupi knaan-4

Picha mbalimbali zilizosambaa siku moja baada ya Tuzo za Oscar zikiwaonesha Lupita na rapper K’naan mwenye asili ya Somalia, wakiwa katika pozi zinazoashiria ukaribu mkubwa ndio zimezua speculation hizo.
lupi knaan-3


Katika picha hizo K’naana anaonekana pia amembebea tuzo yake ya Oscar.
lupi knaan-5

Keinan Abdi Warsame a.k.a K’naan ambaye amewahi kuhit na single yake ‘Waving Flag’ mwaka 2010, walionekana wakiwa pamoja siku ya Jumatatu wakati Lupita akitoka kufanya mahojiano na Live.
lupi knaan-6

Ripoti zinasema kuwa K’naan pia alikuwepo katika matukio ya awali kabla ya siku ya Tuzo za Oscar kumpa support Lupita, na Lupita amekuwa akisema jinsi anayopenda muziki wake kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii, na mwezi uliopita (February 27) alihudhuria show yake Hotel Café, huko Los Angeles ambayo pia alimsaidia kumfanyia promo.
lupi knaan-2


Hii ni picha waliyopiga Ava DuVernay, K’naan na Lupita december 2013 wakisheherekea nomination za SAG Awards
lupi knaan-1


Moja ya post za K’naan ambazo inathibitisha ukaribu wao

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA HABARI YA MJINI
Copyright © 2011. AROUND THE WORLD - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA HABARI YA MJINI
Proudly powered by Blogger