source: full shangwe blog
Wednesday, March 12, 2014
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA(THBUB) YATOA TAARIFA YAKE YA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI
NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI
- Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu
Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni tatu yaani Fair Deal
Auto Private Ltd inayosambaza pikipiki za miguu miwili na mitatu aina
ya Bajaji, kampuni ya Car & General Limited Ltd inayosambaza
pikipiki za miguu mitatu aina ya TV’S King pamoja na kampuni ya Quality
Motors inayosambaza pikipiki za miguu miwili aina ya Honda wameingia
ubia ili kuwawezesha wananchi kupata mikopo nafuu ya kumiliki pikipiki
za miguu miwili na mitatu.
Hii
yote ni katika kuendeleza azma ya NMB inayolenga kubuni huduma na bidhaa
mbalimbali za kibenki zinazogusa kwakaribu mahitaji ya wateja na
watanzania kwa ujumla.
Akizungumza
katika hafla ya uzinduzi wa mikopo hii jijini Mwanza, Waziri wa
Uwezeshaji na Uwekezaji kutoka ofisi ya Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mary Nagu amesema “Mikopo
hii ya pikipiki itawasaidia sana vijana na wananchi kwa ujumla kuweza
kumiliki pikipiki zitakazowawezesha kuendesha maisha yao ya kila siku.
Binafsi natambua ajira kwa vijana imekua ni changamoto maeneo mengi
nchini hivyo basi ningependa kuwasisitiza vijana wachukue fursa hii
inayotolewa na NMB kuweza kumiliki biashara zao wenyewe na kujikimu
kiuchumi.”
Vilevile kutoka NMB, Mkuu wa Kitengo cha Biashara za kibenki, Bw. Filbert Mponzi amesema kuwa bidhaa hii mpya inalenga kupunguza changamoto za ajira kwa vijana hapa nchini.
“NMB
itaendelea kubuni bidhaa ili kupambana na changamoto za ajira
zinazowakumba wateja. Tutaendelea kushirikiana na makampuni kama Fair Deal Auto Private Ltd, Car & General Limited Ltd pamoja na Quality Motors ili kupata bidhaa zenye ubora zaidi.” alisema Mponzi.
Mkuu
wa Kitengo cha Biashara za benki ya NMB, Bw. Filbert Mponzi wakati wa
uzinduzi wa mpango wa uwezeshwaji kwa wateja wa NMB kupitia mikopo ya pikipiki za miguu miwili na mitatu kutoka benki ya NMB. Kushoto ni Meneja wa NMB Kanda ya ziwa, Bw. Straton Chilongola.
Marejesho
ya mkopo huu wa pikipiki ya miguu miwili na mitatu yanatolewa ndani ya
muda wa miezi 24, ambapo kwa kipindi hiki chote, mteja ataendelea
kurejesha makato yake ya kila mwezi kwakuzingatia taratibu za
makubaliano yatakayofanyika baina ya mteja na benki ya NMB.
Mikopo
hii pia inawekewa bima kwa ajili ya ulemavu au kifo kitakachomtokea
mmliki wa pikipiki iliyochukuliwa mkopo. Bima hii ni kwaajili ya kumpa
unafuu mkopaji endapo atapata matatizo ya kiafya ambayo yatamfanya apate
ulemavu au kupoteza maisha.
Mikopo
hii yenye masharti nafuu inatolewa kwa mteja yeyote ambaye atatitimiza
vigezo vilivyowekwa ili kupata mkopo huu. Anachotakiwa kufanya mteja ni
kulipia asilimia thelathini ( 30%) ya bei ya pikipiki ya miguu miwili au
mitatu kama inavyouzwa na wasambazaji wa pikipiki hizi za Fair Deal
Auto Private Ltd , Car & General Ltd pamoja na Quality Motors.
Kwa
maelezo zaidi temmbelea matawi ishirini na moja tu ya NMB nchi nzima
yanayotoa mikopo hii kama ifuatavyo: Mwanza-Buzuruga na Kenyata Road,
Dar es Salaam-Tegeta, Magomeni, Mwenge, Mbezi Beach, Temeke, Ilala, Mlimani City, Msasani na Airport
Arusha-Clock Tower na Arusha Market
Manyara-Babati na Katesh
Dodoma
Mbeya-Mwanjelwa, Mbalizi Road na Usongwe
Moshi-Nelson Mandela na Tanga-Madaraka
NMB BENKI YAKO
Tuesday, March 11, 2014
MASIKINI...!! NYUMBA YA MSANII WA BONGO MOVIES YATEKETEA KWA MOTO NA KUHARIBU KILA KITU..!!! TAZAMA HAPA
Ashura Rashid ‘Saladini’.
NYUMBA ya msanii wa filamu za Kibongo aliyewahi kutamba na muvi kali
ya Saladini, Ashura Rashid ‘Saladini’ imeteketea kwa moto na kusababisha
hasara kubwa, huku msanii huyo akihaha kusaka hifadhi kwa majirani,
Chande Abdallah anakujuza.Tukio hilo lilitokea asubuhi ya Machi 6, mwaka huu maeneo ya Bugando jijini Mwanza wakati msanii huyo akiwa kwa majirani zake ambapo chanzo cha moto huo kilidaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme.
Akizungumza na Showbiz kwa njia ya simu, Saladini alisema kuwa kwa sasa analala kwa majirani kwa kuwa kila kitu chake kimeteketea kwa moto.
“Namshukuru Mungu hakuna aliyedhurika lakini nimepata hasara kubwa sana kwani hakuna kitu kilichotoka salama humo ndani,” alisema Saladini kwa masikitiko
gp
AIBUU....MKE WA MTU AFUMANIWA AKINGONOKA NA KIDUME CHUMBANI KWA MUMEWE
Timbwili I zito limeibuka baada ya mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la
Samora kumnasa ‘live’ mkewe Hadija akimsaliti kwa kuvunja amri ya sita
na hawara ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tena kwenye chumba chao..Habari kutoka chanzo cha uhakika kilitonya kuwa Samora na Hadija ni wanandoa waliooana Bomani pale Magomeni, Dar, mwaka 2009 na katika ndoa yao wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume.
Tukio hilo la fumanizi lilijiri maeneo ya Kinondoni-Kwamsisiri, Dar nyumbani kwa wanandoa hao, majira ya saa 1:00 usiku, Julai 29, mwaka huu.
Habari zilieleza kuwa mwanzoni mwa mwaka huu, ndoa ya wawili hao ilitumbukia nyongo na kuingia kwenye mgogoro ambapo pamoja na kuweka mambo sawa, waliendelea kukwaruzana mara kwa mara.
Ilidaiwa kuwa chanzo cha wawili hao kuhitilafiana ni kutokana na mwanaume kumtuhumu mkewe kutoa tunda nje ya ndoa.
Ikasemekana kuwa baadaye wapambe walimfuata Samora na kumtonya kuwa mkewe amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na kidume mwingine nje ya ndoa yao ndiyo maana amekuwa akimletea nyodo .
Iliendelea kudaiwa kuwa baada ya ndoa kutibuka, Samora alikuwa mnyonge na mwenye msongo wa mawazo hivyo ikabidi aikimbie nyumba kwa muda na kwenda kwa wazazi wake.
Ilisemekana kuwa, Samora alirejea nyumbani huku akifanya uchunguzi wa nguvu akiwatumia majirani kumpatia taarifa kuhusu kila mwanaume aliyeingia na kutoka nyumbani kwake yeye akiwa hayupo.
Uchunguzi wa Samora ulibaini kuwa, Hadija alikuwa ‘akibanjuka’ nje ya ndoa na mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Rwekaza ambaye ni mfanyakazi serikalini.
Habari za kina zilisema kuwa, Samora alitonywa kwamba jamaa alikuwa akitimba na gari aina ya Suzuki Swift 1.3 na siku nyingine alikuwa akilala hadi asubuhi bila tone la soni kuwa Hadija ni mke wa mtu.
Baada ya kupata uhakika huo ndipo Samora akajipanga kwa kuwatafuta vijana wa mtaani ili Rwekaza atakapofika nyumbani hapo kulala na mkewe wamvamie na kumfanyizia.
Bila kufahamu kuwa anasubiriwa kwa hamu majira yaa saa 1:00 usiku, Rwekaza huyooo, akatinga nyumbani hapo na moja kwa moja akafikia chumbani kama kawaida yake.
Wakiwa chumbani, ilidaiwa kuwa waliendelea na mambo yao huku Rwekaza akiwa tumbo wazi na suruali yake amefungua zipu huku Hadija akiwa amesaula na kubaki na ‘kufuli’, kisha akajifunga khanga moja.
Katika fumanizi hilo, Samora alitinga chumbani humo akiwa ameambatana na kundi la vijana kibao ambao walikuwa na lengo moja tu, kumfanyia kitu mbaya Rwekaza.
Wakiwa chumbani, kuliibuka bonge la timbwili baada ya Samora kumshuhudia mwenza wake aliyekula kiapo cha kutotengana naye akisaliti ‘laivu’ penzi lao.
Baada ya kuona machafuko makubwa ya hali ya hewa chumbani, mwanahabari wetu aliwataarifa polisi katika Kituo cha Kwamsisiri ambao walifika maeneo hayo na kufanya kazi kubwa na nzuri ya kuepusha balaa au mauaji kwa kuwa Samora alikuwa na hasira kali.
Ili kuthibitisha kuwa ni mkewe wa ndoa, Samora alizama kabatini na kuchomoa cheti cha ndoa na picha walizopiga siku ya ndoa yao zikiwaonesha wakiwa na tabasamu la ‘mimi na wewe milele’ kabla ya shetani ‘kufanya yake’ kwenye unganiko lao.
Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo liliwasikitisha wengi huku wakiamini kabisa kuwa ni nadra matukio ya mafumanizi kutokea katika kipindi cha mfungo.
“Jamani hata Mwezi Mtukufu? Ni aibu sana kwa mke kuingiza mwanaume mwingine kwenye chumba cha mumewe. Kweli hili fumanizi ni kiboko,” alisikika mmoja wa majirani hao walioshuhudia tukio hilo muda mfupi baada ya kufuturu.Source: Global publisher
STORI YA WABUNGE WA ZIMBABWE KUGOMA KUTAHIRIWA HII HAPA ISOME
Wabunge
wanaume nchini Zimbabwe wameonekana kutokukubaliana na wito wa kutaka
kutahiriwa ili kuonyesha mfano katika kupambana dhidi ya ukimwi, BBC imegundua.
Naibu
waziri mkuu Bi Thokozani Khupe alitoa wito huo, kufuatia ushahidi kuwa
wanaume waliotahiriwa wana uwezekano wa kuathirika na virusi vya HIV kwa chini ya asilimia 60.
Miongoni mwa wabunge wanane waliozungumza na BBC, mmoja tu alisema atatilia maanani pendekezo lake.
Mmoja aliita hatua hiyo “wazimu”, wakati mwengine alisema ataonyesha mfano mzuri kutokana na tabia yake.
Zimbabwe
ni moja ya nchi zilioathirika sana na ugonjwa wa ukimwi na mwaka jana
serikali ilizindua kampeni ya kuwatahiri mpaka aslimia 80 ya vijana wa
kiume- ambao ni takriban watu milioni tatu.
Shirika la Afya Duniani WHO linawashawishi wanaume kutahiriwa kufuatia utafiti uliofanywa katika nchi nyingine za Afrika.
Hata
hivyo, wataalamu wa ugonjwa huo, wanaonya kutumia kondom, kujizuia
kufanya ngono au kuwa mwaminifu kwa
SOMA HII: BAADA YA POMBE KUMKOLEA MKE WA MTU AAMUA KUPIGA PICHA ZA UTUPU GEST AKIVUNJA AMRI YA SITA NA KIDUME. mwenza mmoja ni miongoni mwa njia bora zaidi katika kujikinga dhidi ya virusi vya ukimwi.
SOMA HII: BAADA YA POMBE KUMKOLEA MKE WA MTU AAMUA KUPIGA PICHA ZA UTUPU GEST AKIVUNJA AMRI YA SITA NA KIDUME. mwenza mmoja ni miongoni mwa njia bora zaidi katika kujikinga dhidi ya virusi vya ukimwi.
Source: BBC SWAHILI.
HII NI KWA WANAUME MNAOPENDA KUZAMA CHUNVINI (NGONO YA MDOMO), SOMA HAPA MADHARA YAKE
Namna mdomo unavyoharibika kutokana na ngono kufanywa kwa kutumia mdomo. Picha ya Maktaba.
Na Hadija Jumanne, Mwananchi
- Baadhi ya watu ambao wanakumbwa na ugonjwa huu shingo huvimba kama hivi. Hata hivyo wapo wenye kuvimba hivi lakini si kwa sababu walifanya ngono kwa kutumia mdomo, isipokuwa yaweza kuwa ni sababu nyingine zikiwemo kurithi.
- Wataalamu wa masuala ya afya wanashauri kwamba ni muhimu sana watu wakaachana kabisa na tabia hii kutokana na ukweli kwamba siyo tu kwamba ni hatari kwa afya, pia ni sawa na kujiua mwenyewe, kwani kitendo hicho kinachangia magonjwa mengi.
Leo ni siku ya Saratani Duniani. Wakati
tunaadhimisha siku hii hapa nchini idadi ya vijana ambao ni tegemeo la
taifa inazidi kupungua kutokana kuangamia kwa saratani ikiwemo ya koo.
Utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Duniani
(WHO) nchini umeonyesha asilimia 20 ya saratani ya koo husababishwa na
ngono ya mdomo maarufu kama ‘Oral Sex”.
Utafiti huo unaonyesha saratani ya koo licha ya kuambukizwa na njia mbalimbali ikiwemo ulaji wa vyakula vyenye pilipili,
pombe kali, vitu vyenye uchachu pamoja na kurithi kutoka kwa wazazi.
Utafiti unaonyesha watu wengi hasa vijana
wanamejiingiza kwenye vitendo hivi vya kufanya ngono wakitumia midomo
hasa ndimi, hivyo kuhatarisha uhai wao.
Katika utafiti huo wa hivi karibuni, ulibaini
wanaume 747 na wanawake wakiwa 472 hugundulika kila mwaka kuwa na
saratani hiyo huku wanaopoteza maisha kila mwaka ni wanaume 444
wakifuatiwa na wanawake 270 kutokana na ugonjwa huo.
Utafiti unabainisha kuwa asilimia kubwa ya vijana
wenye umri kati ya miaka 20 hadi 45 wanatumia staili ya kuwanyonya wenza
wao sehemu za siri lengo likiwa ni kuwavutia wapenzi wao katika kushiriki ngono.
Vijana wenye umri huo ndio wahanga wakubwa kwa
sasa kutokana na ugonjwa huo kuonekana kuwaathiri kwa kasi, huku wengi
wakiwa hawajui athari zake. Baadhi hujisifia kwamba ni wajuzi, kumbe
wanajitafutia kifo kwa kufanya vitendo hivyo.
Utafiti unaonyesha kwa watu wazima walio wengi
hawana muda wa kufanya hayo wanayofanya vijana, hivyo kujikuta angalau
wanakuwa salama na kupatwa na saratani ya koo kwa njia hiyo inayoonekana
kama ni chafu pia.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani kutoka Taasisi ya Saratani ya Ocean Road,
Dk Crispin Kahesa anasema saratani ya koo ni ya pili katika mtiririko
wa saratani zinazowapata wanaume nchini, ikiongozwa na ile ya ngozi
(Karposi’s Sarcoma) ambayo huambukizwa kwa njia ya kujamiana. Kuna
saratani aina zaidi ya 24 zinazoisumbua Tanzania.
Anasema mbali na staili hiyo pia, kuna baadhi ya
watu hupata saratani ya koo kwa kurithi kutoka kwa wazazi wao na
wengine kuwa na umri mkubwa ambao huchangia kupata tatizo hilo, lakini
siyo kwa asilimia kubwa kama ile ya ngono ya mgomo.
“Hali hii ya vijana wenye umri huo kuwanyonya
wanawake inatokana na ujana, wengine wanaiga kwenye mitandao, lakini
mambo haya hayakuwepo zamani tofauti na sasa, utakuta wanaume
http://mtukwaotz.blogspot.com/2014/03/picha-zaidifull-mitego-ya-mrembo-wa.html ili aweze kumvutia mwanamke anamfanyia hivyo sehemu za siri, lakini zamani staili hii haikuwepo kabisa,”
BOFYA HAPA: PICHAZ 5 KALI ZA KIMAHABA...VANESSA MDEE KITOVU NJE FULL MITEGO AISEE.... anasema Dk Kahesa na kuongeza.
source: mwananchi
http://mtukwaotz.blogspot.com/2014/03/picha-zaidifull-mitego-ya-mrembo-wa.html ili aweze kumvutia mwanamke anamfanyia hivyo sehemu za siri, lakini zamani staili hii haikuwepo kabisa,”
BOFYA HAPA: PICHAZ 5 KALI ZA KIMAHABA...VANESSA MDEE KITOVU NJE FULL MITEGO AISEE.... anasema Dk Kahesa na kuongeza.
source: mwananchi
Subscribe to:
Comments (Atom)



