Wednesday, March 12, 2014

TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA(THBUB) YATOA TAARIFA YAKE YA KIFO CHA DAUDI MWANGOSI

Mwenyekiti wa Tume Ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora Jaji Kiongozi (Mstaafu) Amiri Ramadhan  Manento (katikati) akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani jijini  Dar es Salaam  Oktoba 10,2012 wakati akitoa muhtasari wa  taarifa ya Uchunguzi wa Tume yake kuhusu tukio lililopelekea kifo cha Daudi Mwangosi kilichokea Septemba 2, 2012 kijijini Nyololo. Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa. (Kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya  Haki za Binadamu na Utawala Bora Mahfoudha.A. Hamid  na (kulia) ni  Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu kutoka Tume hiyo Florida Kazora. (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Mwenyekiti wa Tume Ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ambae ni Jaji Kiongozi (Msataafu) Amiri Manento (kulia) akitoa muhtasari muhtasari kwa waandishi wa habari hawapo pichani jijini Dar es Salaam Oktoba 10,2012   wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ya Uchunguzi wa tukio lililopelekea kifo cha  mwandishi wa habari wa Chanel Ten Daudi Mwangosi hapo Sept,2,2012 kikijijni Nyololo ,wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. Pichani kulia na Makamu Mwenyekiti wa Tume hiyo Mahfoudha A.Hamid na kulia ni (kulia) Florida Kazora   (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).
Baadhi ya wadau na waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano huo
source: full shangwe blog

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA HABARI YA MJINI
Copyright © 2011. AROUND THE WORLD - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA HABARI YA MJINI
Proudly powered by Blogger