Friday, March 7, 2014

MAMBO 5 YA KUZINGATIA KABLA YA KUMTAMBULISHA GIRLFRIEND WAKO KWA WASHIKAJI. SOMA HAPA

WASHIKAJI.
Mara nyingi mapenzi ni matamu lakini cha kushangaza hakuna shule ambayo unaweza kwenda kwa ajili ya kufundishwa jinsi ya kupenda au mambo ya kufanya kudumisha  uhusiano wako  BOFYA HAPA  leo hii nimekuandalia dondoo muhimu za kufata kabla ya kuwatambulisha washikai demu wako mpya
HAKIKISHA UNAMPATA ANAYEKUFAA
Dondoo hii tunachukulia kwamba wewe tayari una mpenzi tayari.. na umeridhika kweli ndiye anayekufaa kwa  maisha yako ya ujana kama hujui jinsi ya kupata mpenzi  wa kweli INGIA HAPA
PELELEZA HISTORIA YAKE
Hii ni muhimu sana kama unataka kulinda uhusiano wako pamoja na marafiki zako,  jaribu kupeleleza historia yake ya kimapenzi kabla ya kuwatambulisha  marafiki ili ujue kama amewahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na rafiki yako au la, maana husipokuwa makini katika hili waweza kujikuta unapoteza urafiki wako na best wako au kumpoteza mpenzi wako au wote wawili
NENDA NA MDA
Jitahidi kutochelewa sana kuwatambulisha marafiki zako kwani sisi ni binadamu na kawaida ya binadamu lazima atembee katika miangaiko ya hapa na pale na uenda huyo mpenzi wako akakutana na rafiki yako wakajikuta wakitongozana na kuja kuwa aibu pindi utakapokuja kuwatambulisha
EPUKA KUJINADI
Unapowatambulisha washkaji demu wako jaribu kumchukulia poa na kumfanya wa kawaida epuka kumsifia sana kwani kufanya hivo unakaribisha matamanio kutoka kwa rafiki zako ambao wanaweza wakaja kumtongoza badae.  INGIA HAPA UJIFUNZE MAPENZI VIZURI UWEZE KUMDHIBITI MCHUMBA WAKO

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA HABARI YA MJINI
Copyright © 2011. AROUND THE WORLD - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA HABARI YA MJINI
Proudly powered by Blogger