Friday, March 7, 2014

LULU AKANA TUHUMA ZILIZOZUKA HIVI KARIBUNI JUU YA KANUMBA

Stori: Mayasa Mariwata
ELIZABETH Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kwa sasa hateswi na kumbukumbu ya tukio la marehemu Steven Kanumba kama ilivyokuwa zamani.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZA LULU NA VAN VICKER WA NIGERIA WAKIWA KATIKA POZI TATA 
Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Alipobanwa kuhusu kusumbuliwa na Kanumba aliyekuwa mpenzi wake, Lulu alisema:
“Imeshapita muda mrefu sasa, kama binadamu namkumbuka lakini siyo kama kipindi kile, ilikuwa picha ikinirudia mara kwa mara, hata hivyo sipendi sana kuzungumzia haya,” alisema.STEVE NYERERE: LUPITA

Marehemu Steven Kanumba.

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA HABARI YA MJINI
Copyright © 2011. AROUND THE WORLD - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA HABARI YA MJINI
Proudly powered by Blogger